Mkurugenzi wa idara za Afrika na Mashariki ya Kati, aliyeuanzisha mradi wa Noa Bongo, Bi Ute Schaeffer, asema anajivunia mradi huo kushinda tuzo ya uvumbuzi wa mawazo mapya Mradi wa Learning by Ear - ...
Ushirikiano wa Learning by Ear’ Noa Bongo Jenga Maisha yako na vituo vya redio shirika 254 kote barani Afrika umeleta muamko mpya na kuwezesha kuwafikia wasikilizaji wengi zaidi katika kanda hii. Kama ...
Msanii wa Bongo Fleva, Baraka the Prince anauona muziki ni maisha, jambo linalomfanya afikirie zaidi namna mashabiki wake wataishi na kazi zake, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa ...